Monday, May 16, 2022
27 °c
Dar es Salaam
25 ° Thu
25 ° Fri
25 ° Sat
25 ° Sun
25 ° Mon
English EN Kiswahili SW
UHURU MEDIA GROUP
Tangaza Nasi
  • Mwanzo
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHAKA ANG’AKA FAINI MIMBA ZA WANAFUNZI

    NI HISTORIA NYINGINE CCM

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM YATEUA MAKATIBU WA MIKOA NA WILAYA

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM ITAENDELEA KUWA CHAMA BORA, IMARA AFRIKA- SHAKA

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
  • Michezo
    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    PABLO AIPANIA KMC 

    PABLO AIPANIA KMC 

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • UMG
    • Home
    • About Us
    • Services
    • Shop
    • Contact Us
  • MAGAZETI
    • Uhuru wanawake
    • Mzalendo
    • Uhuru vijijini
    • Burudani
    • Uhuru kijani
  • UHURU FM
    • Ratiba
  • UHURU DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • Mwanzo
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHAKA ANG’AKA FAINI MIMBA ZA WANAFUNZI

    NI HISTORIA NYINGINE CCM

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM YATEUA MAKATIBU WA MIKOA NA WILAYA

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM ITAENDELEA KUWA CHAMA BORA, IMARA AFRIKA- SHAKA

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
  • Michezo
    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    PABLO AIPANIA KMC 

    PABLO AIPANIA KMC 

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UHURU MEDIA GROUP
No Result
View All Result
Mwanzo Habari Kitaifa

CCM KUBORESHA MAFAO YA WASTAAFU NA HUDUMA ZA AFYA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 19, 2021
in Habari Kitaifa
0 0
0
CCM KUBORESHA MAFAO YA WASTAAFU NA HUDUMA ZA AFYA

KATIBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo

0
SHARES
41
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amesema kuwa, Chama kitasimama imara kuwa wakili wa kusemea, kupigania na kutetea haki na stahiki za wazee nchini.

Pia, amesema CCM itapigania kuboreshwa kwa upatikanaji wa mafao ya wastaafu, wazee kuwekewa utaratibu bora wa kisheria wa huduma za afya na kupata uwakilishi katika vyombo vya uwakilishi, ikiwemo kuwakilishwa ndani ya Bunge na mabaraza ya madiwani.

Chongolo aliyasema hayo, wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, alipokuwa akizungumza na Baraza la Wazee wa Wilaya hiyo, ikiwa ni sehemu ya ziara ya wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, katika mikoa ya Kagera, Geita, Kigoma, Katavi na Tabora, kukagua uhai na uimara wa Chama  na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2020-2025.

“Nakubaliana na ninyi kuwa Sera ya Wazee ya Mwaka 2003 ni nzuri sana lakini imechukua muda mrefu kuwa sheria. Kwa namna hali inavyokwenda kwa sasa katika jamii yetu ni bora tukafikiria kwenda mbele zaidi.

Tuwe na sheria itakayolinda haki za wazee na kuelezea wajibu wa watoto kwa wazazi wao. Tuna sheria hapa inakutaka wewe mzazi kuwajibika kwa mtoto kuhakikisha anapata haki zake. Lakini wapo watoto wanaowatelekeza wazazi wao wakiwa wamezeeka.”

KATIBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, akiteta jambo na Mwenyekiti wa Shina namba 1 lililopo mtaa wa Sunzu, Juma Rugina (katikati) na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kasulu, Mbelwa Chidebwe (kulia) wakati wa mkutano na wakazi wa shina hilo Kasulu mkoani Kigoma

“Kwa namna ile ile ambayo tulitunga sheria ambayo inawawajibisha wazazi basi tuwe na sheria inayowawajibisha watoto kuwatunza wazee wao badala ya kuwasahau.

Katika hili la sheria ya kulinda haki za wazee na wajibu wa watoto kwenu nitakuwa wakili wenu namba moja. Juzi nililisema hili pia nilipokutana na Wazee wa Chato, nilikutana nalo pia nilipozungumza na Wazee wa Muleba huko Kagera,” amesema  Chongolo.

Akizungumzia kuhusu wazee kuwakilishwa katika vyombo vya uwakilishi, ikiwa ni pamoja na bunge, Chongolo alisema kuwa kundi hilo maalum katika jamii linastahili kuwekewa utaratibu huo, akisistiza kuwa iwapo mchakato wa kiserikali utachukua muda mrefu, CCM inaweza kuweka suala hilo kupitia taratibu za ndani ya chama, kama ambavyo makundi mbalimbali mengine, ikiwemo wanawake, watu wenye ulemavu, vijana na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali, yana uwakilishi bungeni.

KATIBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo (katikati) akishiriki ujenzi wa Shule ya Sekondari Mayonga na viongozi wengine ikiwa sehemu ya ziara ya kukagua, kuhamasisha na kusimamia Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025.

Chongolo aliwaambia waze hao kuwa kupitia utaratibu wa kisheria unaoandaliwa na Serikali kuwasilisha mswada wa Bima ya Afya kwa wote, itakuwa ni mojawapo ya fursa nzuri kuhakikisha kundi la wazee linapata huduma za afya kwa uhakika, kwa sababu katika umri wao wa uzeeni, matibabu ya magonjwa mbalimbali yanayowasumbua uzeeni, ni mojawapo ya huduma za msingi baada ya kulitumikia taifa kwa mafanikio.

Kwa upande wao, wabunge wa Jimbo la Kasulu Mjini, Profesa Joyce Ndalichako na Jimbo la Kasulu Vijijini, Agustino Vuma, wakizungumzia changamoto mbalimbali ambazo bado Serikali ya CCM inazifanyia kazi, walisema,  kazi kubwa imefanyika katika ujenzi wa miundombinu ya elimu, afya na barabara, walitumia nafasi hiyo kuwasemea wananchi kuhusu mahitaji ya umeme na maji katika maeneo hayo.

“Ndugu Katibu Mkuu wa CCM, tunashukuru Serikali ya Chama Cha Mapinduzi, inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo imeendelea kushusha fedha kwa ajili ya miradi ya barabara ambayo zinaufungua mkoa na wilaya za Kigoma kutuunganisha na maeneo mengine kwa kasi kubwa.

SEHEMU ya Viongozi na wakazi wa shina namba 1 lililopo mtaa wa Sunzu, Kata ya Kumnyika wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, ambaye yupo mkoani Kigoma kwa ziara ya kuimarisha uhai wa Chama na kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020-2025. (Picha na CCM Makao Makuu)

Mwaka huu hakutakuwepo na kero ya kuwachangisha wazazi kwa ajili ya ujenzi wa madarasa…serikali imeshusha fedha za kutosha. Changamoto kubwa ni upatikanaji wa maji safi, salama ya kutosha na usambazaji wa umeme wa REA awamu ya tatu, ambazo nazo zinaendelea kufanyiwa kazi kwa mipango iliyoko katika bajeti,” alisema  Profesa Ndalichako.

Kwa upande wake, Mbunge wa Kasulu Kijijini Vuma Agustino mbali ya kuelezea namna ambavyo Serikali imetenga na kushusha fedha za bajeti za maendeleo ya huduma za afya, barabara na elimu, pia aliwasemea wananchi kuhusu kero ya mgogoro wa ardhi katika Msitu wa Kagerankanda, ambapo wananchi wanahitaji kuwekewa mipaka kwa ajili ya matumizi sahihi ya ardhi hiyo, hususan kwa ajili ya kilimo na ufugaji.

Na MWANDISHI WETU, Kigoma

Abdurahman Jumanne

Abdurahman Jumanne

Stay Connected test

  • 110 Follower
  • 168k Subscriber
  • 23.5k Follower
  • 99 Subscriber
  • Trending
  • Comments
  • Latest
MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

July 9, 2021
TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

July 9, 2021
BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

August 9, 2021
MBUNGE LINDI ATAKA VIJANA WAJISHUGHULISHE

MBUNGE LINDI ATAKA VIJANA WAJISHUGHULISHE

July 8, 2021
SHAKA AWAHIMIZA WATANZANIA KUCHAPAKAZI KUINUA UCHUMI

SHAKA AWAHIMIZA WATANZANIA KUCHAPAKAZI KUINUA UCHUMI

0
TTCL YAJIVUNIA UTOAJI HUDUMA WA MAWASILIANO KIMATAIFA

TTCL YAJIVUNIA UTOAJI HUDUMA WA MAWASILIANO KIMATAIFA

0
KIKONGWE KUHITIMU PHD

KIKONGWE KUHITIMU PHD

0
MKUTANO WA KIHISTORIA KATIKA HISTORIA YA MIAKA 100 YA CPC

MKUTANO WA KIHISTORIA KATIKA HISTORIA YA MIAKA 100 YA CPC

0
UWT TEMEKE KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

UWT TEMEKE KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

May 11, 2022
DK. MWINYI ASEMA HAKI KICHOCHEO CHA AMANI NCHNI

DK. MWINYI ASEMA HAKI KICHOCHEO CHA AMANI NCHNI

May 11, 2022
SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

May 11, 2022
MABEHEWA MAPYA 22 KUNUNULIWA

MABEHEWA MAPYA 22 KUNUNULIWA

May 11, 2022

Recent News

UWT TEMEKE KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

UWT TEMEKE KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

May 11, 2022
DK. MWINYI ASEMA HAKI KICHOCHEO CHA AMANI NCHNI

DK. MWINYI ASEMA HAKI KICHOCHEO CHA AMANI NCHNI

May 11, 2022
SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

May 11, 2022
MABEHEWA MAPYA 22 KUNUNULIWA

MABEHEWA MAPYA 22 KUNUNULIWA

May 11, 2022
Instagram Youtube Twitter VK Facebook

We are a diverse team of experts, innovative thinkers, creative designers, writers, innovators, strategists, pyschologists, comunictaors and web developers. UMG is extremely passionate about growing clients’ businesses, helping them achieve their goals and making a difference by raising the creative and communications industry standards in Tanzania.

Follow Us

Browse by Category

  • 2021
  • Afya Makala
  • BURUDANI
  • Business
  • GAZETI LA BURUDANI
  • GAZETI LA UHURU
  • GAZETI LA UHURU MACHI 17
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • KIMATAIFA
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • RIWAYA
  • SIASA
  • Uncategorized

Recent News

UWT TEMEKE KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

UWT TEMEKE KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

May 11, 2022
DK. MWINYI ASEMA HAKI KICHOCHEO CHA AMANI NCHNI

DK. MWINYI ASEMA HAKI KICHOCHEO CHA AMANI NCHNI

May 11, 2022

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In