Friday, May 20, 2022
27 °c
Dar es Salaam
25 ° Thu
25 ° Fri
25 ° Sat
25 ° Sun
25 ° Mon
English EN Kiswahili SW
UHURU MEDIA GROUP
Tangaza Nasi
  • Mwanzo
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHAKA ANG’AKA FAINI MIMBA ZA WANAFUNZI

    NI HISTORIA NYINGINE CCM

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM YATEUA MAKATIBU WA MIKOA NA WILAYA

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM ITAENDELEA KUWA CHAMA BORA, IMARA AFRIKA- SHAKA

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
  • Michezo
    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    PABLO AIPANIA KMC 

    PABLO AIPANIA KMC 

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • UMG
    • Home
    • About Us
    • Services
    • Shop
    • Contact Us
  • MAGAZETI
    • Uhuru wanawake
    • Mzalendo
    • Uhuru vijijini
    • Burudani
    • Uhuru kijani
  • UHURU FM
    • Ratiba
  • UHURU DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • Mwanzo
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHAKA ANG’AKA FAINI MIMBA ZA WANAFUNZI

    NI HISTORIA NYINGINE CCM

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM YATEUA MAKATIBU WA MIKOA NA WILAYA

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM ITAENDELEA KUWA CHAMA BORA, IMARA AFRIKA- SHAKA

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
  • Michezo
    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    PABLO AIPANIA KMC 

    PABLO AIPANIA KMC 

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UHURU MEDIA GROUP
No Result
View All Result
Mwanzo Habari Kitaifa

NEEMA YA MASOKO KWA WAKULIMA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
October 8, 2021
in Habari Kitaifa
0 0
0
NEEMA YA MASOKO KWA WAKULIMA

WAZIRI wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda

0
SHARES
99
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

WIZARA ya Kilimo imeweka mikakati ya kuhakikisha upatikanaji wa masoko ya mazao ya wakulima ndani na nje ya nchi kwa lengo la kutafuta ufumbuzi wa kudumu kuhusu uhaba wa masoko kwa wakulima.

Katika kutimiza azma hiyo, wizara hiyo imefanikiwa kupata eneo la maonesho ya bidhaa za kilimo katika nchi mbalimbali zikiwemo Saudi Arabia na China kama ambavyo Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, inavyosisitiza umuhimu wa upatikanaji masoko kwa mazao ya wakulima ndani na nje ya nchi.

Aidha, imedhamiria kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa za masoko ya mazao ya kilimo, itatoa mafunzo kuhusu kilimo biashara na mifumo ya masoko kwa maofisa ugani 2,000 na wakulima 4,000 kutoka mikoa 26.

Akizungumza na UhuruOnline, Waziri wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda, alisema juhudi hizo zimeanza kuzaa matunda ambapo sasa wakulima wa zao ngano wameanza kupata uhakika wa masoko.

Alisema wizara hiyo imekutana na wanunuzi wa zao hilo na wamekubali kununua ngano yote inayozalishwa nchini, uamuzi ambao umechochea ongezeko la bei kwa wakulima kufikia sh. 800 kwa kilo.

“Tayari serikali imefanikiwa kupata soko la uhakika la ngano inayozalishwa nchini ambapo wanunuzi wa ngano wameridhia kabla ya kununua ngano nje ya nchi, watahakikisha wananunua kwanza ngano inayozalishwa nchini na ndio sababu wakulima wameanza kulima kwa wingi zao hilo,” alieleza.

ZAO LA SHAYIRI

Akizungumzia kuhusu soko la wakulima wa zao la shayiri, alisema wizara hiyo imeanza kuchukua jitihada za kuimarisha upatikanaji wa soko la uhakika kwa wakulima wa shayiri nchini.

Alisema serikali ipo katika majadiliano na kampuni za bia ili kuwekeza katika kiwanda cha kimea chenye uwezo wa kusindika shayiri tani 35,000 kwa mwaka kutoka kwa wakulima.

Profesa Mkenda alieleza kuwa hatua hiyo itawezesha upatikanaji wa soko la uhakika wa zao la shayiri, hivyo kuongeza uzalishaji wa ndani.

ZAO LA ALIZETI

Alisema zao hilo ni miongoni mwa mazao ya kimkakati ambayo yatasaidia kumaliza upungufu wa mafuta ya kula nchini na ndio sababu serikali imeanza mkakati wa wakulima kulima zao hilo kwa mkataba maalum na wenye viwanda.

“Katika kuimarisha kilimo cha mkataba cha zao la alizeti, wizara itaendelea kuwaunganisha wakulima na wasindikaji kisha kuandaa mazingira bora ya uwekezaji katika viwanda vya kusindika alizeti,”alieleza Mkenda.

NFRA NA CPB

Alisema katika mwaka huu wa fedha serikali imepanga kuimarisha Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) na Bodi ya Mazao Mchanganyiko (CPB) kuwa na uwezo wa kununua zaidi mazao ya wakulima na kutafuta masoko ndani na nje ya nchi.

Kwa mujibu wa Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka huu wa fedha, NFRA inatarajiwa kununua tani 165,000 za nafaka ambazo zinajumuisha tani 150,000 za mahindi, tani 11,000 za mpunga na tani 4,000 za mtama kutoka kwa wakulima, vikundi vya wakulima na vyama vya ushirika.

Aidha, CPB inatarajiwa kununua tani 32,400 za mahindi, tani 21,600 za ngano, tani 7,200 za mbegu za alizeti, tani 4,608 za muhogo, tani 34,560 za mpunga na tani 1,440 za korosho kutoka kwa wakulima kwa ajili ya viwanda vyake vilivyopo katika mikoa ya Arusha, Dodoma, Iringa, Mwanza na Dares Saalaam.

Vilevile, CPB inatarajiwa kununua kwa wakulima mazao ghafi ya mahindi, alizeti, mpunga, maharage ya soya, ngano, korosho, maharage, mtama mweupe, ufuta na mbaazi.

Pia, wizara hiyo kupitia TANIPAC itajenga kituo mahiri cha mafunzo kwa wakulima na usimamizi wa mazao baada ya kuvuna kwa ajili ya kuwezesha masoko na kusambaza teknolojia za usimamizi na uchakataji wa mazao ya kilimo baada ya kuvuna.

“Tumesisitiza umuhimu wa kuondoa vikwazo kwa wasafirishaji mazao ambapo wamekuwa wakikumbana na usumbufu wa magari kusimamishwa mara kwa mara,” alisema Profesa Mkenda.

Aliongeza kuwa: “Hali hii inasababisha mnunuzi kushindwa kupeleka magari kwenda kununua mazao ya wakulima kwa kuhofia usumbufu wa kusimamishwa mara kwamara.”

MITAJI

Akizungumzia kuhusu upatikanaji wa mitaji kwa wakulima, Profesa Mkenda alisema katika mwaka 2021/2022, wizara itafanya tathmini ya mifumo ya upatikanaji wa mitaji kwa wakulima wadogo na wawekezaji wengine katika sekta ya kilimo.

Alieleza kuwa hatua hiyo ina lengo la kuibua vizuizi na kuvitafutia majawabu kwa ajili ya kuimarisha ugharamiaji wa mazao katika mnyororo wa thamani.

Profesa Mkenda alieleza kuwa kazi hiyo itahusisha kuendelea kufanya uchambuzi wa mfumo wa kisera, kisheria na kikodi ili kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kujihusisha na shughuli za kilimo.

“Wizara imeunda kamati maalum inayohusisha viongozi mbalimbali kutoka Wizara ya Kilimo, taasisi za fedha, Mfuko wa PASS na Tume ya Maendeleo ya Ushirika kwa ajili ya kupitia na kushauri namna bora ya upatikanaji wa mitaji kwa ajili ya maendeleo ya kilimo,”alisisitiza Profesa Mkenda.

Na Bakari Mnkondo Na Mussa Yusuph

 

Abdurahman Jumanne

Abdurahman Jumanne

Stay Connected test

  • 111 Follower
  • 168k Subscriber
  • 23.5k Follower
  • 99 Subscriber
  • Trending
  • Comments
  • Latest
MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

July 9, 2021
TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

July 9, 2021
BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

August 9, 2021
MBUNGE LINDI ATAKA VIJANA WAJISHUGHULISHE

MBUNGE LINDI ATAKA VIJANA WAJISHUGHULISHE

July 8, 2021
DK. MWINYI ASISITIZA UIMARA WA UCHUMI

DK. MWINYI ASISITIZA UIMARA WA UCHUMI

0
MAJALIWA AANIKA SIRI UJENZI VYUO VYA VETA

MAJALIWA AANIKA SIRI UJENZI VYUO VYA VETA

0
RAIS MUSEVENI AKAMILISHA ZIARA YAKE NCHINI

RAIS MUSEVENI AKAMILISHA ZIARA YAKE NCHINI

0
USWISI KUENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO TANZANIA

USWISI KUENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO TANZANIA

0
TAKUKURU YAIVALIA NJUGA MIRADI ILIYOKATALIWA MBIO ZA MWENGE

TAKUKURU YAIVALIA NJUGA MIRADI ILIYOKATALIWA MBIO ZA MWENGE

May 18, 2022
VIKUNDI VILIVYOPATA MIKOPO YA BILIONI 4/- VYAITWA TAKUKURU

VIKUNDI VILIVYOPATA MIKOPO YA BILIONI 4/- VYAITWA TAKUKURU

May 18, 2022
SHAKA AZIAGIZA WIZARA TATU MISITU YA HIFADHI

SHAKA AZITAKA TAASISI ZA UMMA NCHINI KUTENGA BAJETI ZA MIRADI

May 18, 2022
WIZARA YAANIKA MKAKATI MPYA KUKABILI BEI YA MBOLEA, MAFUTA

WIZARA YAANIKA MKAKATI MPYA KUKABILI BEI YA MBOLEA, MAFUTA

May 18, 2022

Recent News

TAKUKURU YAIVALIA NJUGA MIRADI ILIYOKATALIWA MBIO ZA MWENGE

TAKUKURU YAIVALIA NJUGA MIRADI ILIYOKATALIWA MBIO ZA MWENGE

May 18, 2022
VIKUNDI VILIVYOPATA MIKOPO YA BILIONI 4/- VYAITWA TAKUKURU

VIKUNDI VILIVYOPATA MIKOPO YA BILIONI 4/- VYAITWA TAKUKURU

May 18, 2022
SHAKA AZIAGIZA WIZARA TATU MISITU YA HIFADHI

SHAKA AZITAKA TAASISI ZA UMMA NCHINI KUTENGA BAJETI ZA MIRADI

May 18, 2022
WIZARA YAANIKA MKAKATI MPYA KUKABILI BEI YA MBOLEA, MAFUTA

WIZARA YAANIKA MKAKATI MPYA KUKABILI BEI YA MBOLEA, MAFUTA

May 18, 2022
Instagram Youtube Twitter VK Facebook

We are a diverse team of experts, innovative thinkers, creative designers, writers, innovators, strategists, pyschologists, comunictaors and web developers. UMG is extremely passionate about growing clients’ businesses, helping them achieve their goals and making a difference by raising the creative and communications industry standards in Tanzania.

Follow Us

Browse by Category

  • 2021
  • Afya Makala
  • BURUDANI
  • Business
  • GAZETI LA BURUDANI
  • GAZETI LA UHURU
  • GAZETI LA UHURU MACHI 17
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • KIMATAIFA
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • RIWAYA
  • SIASA
  • Uncategorized

Recent News

TAKUKURU YAIVALIA NJUGA MIRADI ILIYOKATALIWA MBIO ZA MWENGE

TAKUKURU YAIVALIA NJUGA MIRADI ILIYOKATALIWA MBIO ZA MWENGE

May 18, 2022
VIKUNDI VILIVYOPATA MIKOPO YA BILIONI 4/- VYAITWA TAKUKURU

VIKUNDI VILIVYOPATA MIKOPO YA BILIONI 4/- VYAITWA TAKUKURU

May 18, 2022

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In