Saturday, May 21, 2022
27 °c
Dar es Salaam
25 ° Thu
25 ° Fri
25 ° Sat
25 ° Sun
25 ° Mon
English EN Kiswahili SW
UHURU MEDIA GROUP
Tangaza Nasi
  • Mwanzo
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHAKA ANG’AKA FAINI MIMBA ZA WANAFUNZI

    NI HISTORIA NYINGINE CCM

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM YATEUA MAKATIBU WA MIKOA NA WILAYA

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM ITAENDELEA KUWA CHAMA BORA, IMARA AFRIKA- SHAKA

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
  • Michezo
    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    PABLO AIPANIA KMC 

    PABLO AIPANIA KMC 

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • UMG
    • Home
    • About Us
    • Services
    • Shop
    • Contact Us
  • MAGAZETI
    • Uhuru wanawake
    • Mzalendo
    • Uhuru vijijini
    • Burudani
    • Uhuru kijani
  • UHURU FM
    • Ratiba
  • UHURU DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • Mwanzo
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHAKA ANG’AKA FAINI MIMBA ZA WANAFUNZI

    NI HISTORIA NYINGINE CCM

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM YATEUA MAKATIBU WA MIKOA NA WILAYA

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAPOKEA TUZO CHAONGOZA KUWA NA WAFUASI WENGI MTANDAONI

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    CHONGOLO APIGILIA MSUMARI FEDHA ZA IMF

    SHAKA ATAJA SIRI CCM KUKUBALIKA

    CCM ITAENDELEA KUWA CHAMA BORA, IMARA AFRIKA- SHAKA

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    MBISE ATOA VITI MIA MOJA MONDULI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
  • Michezo
    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    SIMBA, KAGERA NI KISASI, HESABU LEO

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    HAPATOSHI BURKINA FASO, SENEGAL  AFCON

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    MAYELE AIPA JEURI YANGA

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    NABI KUTUMIA MASTAA WAPYA MAPINDUZI CUP

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    SIMBA KIMATAIFA HATOKI MTU

    PABLO AIPANIA KMC 

    PABLO AIPANIA KMC 

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UHURU MEDIA GROUP
No Result
View All Result
Mwanzo Habari Kitaifa

RAIS SAMIA AWASHA MOTO MKOANI MARA

>>>Ni kutokana na kukwama ukamilishaji wa miradi ya maendeleo mkoani humo

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
February 7, 2022
in Habari Kitaifa
0 0
0
RAIS SAMIA AWASHA MOTO MKOANI MARA

RAIS Samia Suluhu Hassan

0
SHARES
58
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RAIS Samia Suluhu Hassan, ameagiza Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Happi, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa mkoa huo, kujitathimini sababu ya kukwama kukamilika miradi ya maendeleo, licha ya serikali kutoa fedha.

Pia, ametangaza kiama kwa wakuu wa idara za halmashauri katika mkoa huo.

Aidha, Rais Samia ameagiza kupatiwa ripoti ya utendaji kazi za wakurugenzi wote nchini, waliokuwa katika kipindi cha uangalizi wa miezi sita ili hatua zichukuliwe kwa wale walioonekana kulegalega.

Akizungumza na wananchi wa Musoma Mjini wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere, Rais Samia alimtaka mkuu wa mkoa huo, kutoogopa kuwashughulikia wale ambao wanakwamisha miradi ya maendeleo.

“Nilichokisikia hapa kwa kiasi kikubwa kuanzia kwa Mkuu wa Mkoa ni kama ubadhirifu umeota nilikuwa nikufyatue hapa, lakini mwenyewe umeanza kwa kuyasema na hii inanionyesha kwamba unayafuatilia, lakini vinginevyo kwa taarifa nilizokuwa nazo nilikuwa nikufyatue.”

“Kuna fedha nyingi zinaingizwa katika mkoa huu, lakini kuna ufujaji, kuna ucheleweshaji utekelezaji wa miradi inayoletwa kwa fedha hizo na hili linafanywa na wanaMara mpo, viongozi wa mkoa wapo, wakuu wa wilaya wapo, halmashauri zipo lakini bado mambo yanaendelea,” alisisitiza.

Alieleza kuwa wakurugenzi wa halmashauri waliokuwa katika matazamio ya miezi sita tangu walipoteuliwa mpaka itakapofika Februali 18 mwaka huu, apelekewe  taarifa ya utendajikazi wao.

“Nimemwambia Waziri wa TAMISEMI aniletee taarifa ya kazi walizozifanya wakurugenzi katika maeneo mbalimbali, taarifa ile itatuambia mkurugenzi gani ndiye nani siye na hapo ndipo tutaamua nani abaki nani aondoke pamoja na wale niliowaondoa juzi,’ alisisitiza.

Rais Samia alisema serikali inafuatilia kwa karibu fedha zinazotolewa halmashauri kwa utekelezaji miradi ya maendeleo, ambapo aliagiza kuvunjwa mkataba kwa mkandarasi wa mradi wa barabara ya Makutano Juu-Samzate inayojengwa kwa kilometa 50, kwani mkandarasi amekuwa akisuasua.

“Serikali inatoa fedha nyingi kuondosha shida kwa wananchi na haki yao kuhudumiwa na ndugu zao wana Mara, sasa ndugu zao mnapojali ubinafsi na kuacha kushughulikia kero za wana Mara, mkoa wenu hautakwenda mbele mtabakia na miradi ile ile ya miaka mingi haishughulikiwi. Tatizo sio serikali, tatizo ni wana Mara wenyewe.

Aliongeza: “Mngechangamka kwa kusema na kusimamia matatizo haya yangejulikana mapema serikalini na hatua zingechukuliwa, lakini mnakaa na kuangalia mambo yanavyoharibika. Mnakunja mikono na kulalamika, mnategemea nani kule makao makuu atajua yale yanayoendelea huku, ni nyinyi wana Mara katika ngazi zenu tofauti. Kuna wabunge, kuna meya, wakuu wa wilaya, mkuu wa mkoa.”

Alisema lakini viongozi wanasuburi ziara ya rais au waziri ndipo waseme na kuwarudisha nyuma wananchi wa Mkoa wa Mara, ambapo alisisitiza ikifika 2023 bado mkoa huo ukibaki kwenye hali hiyo atakwenda kuwaambia wananchi wasiwachague viongozi waliopo.

“Nakuja kuwachongea kwa wananchi wasiwateue kwa sababu mnateuliwa kwa binafsi zenu na sio kwa maendeleo yao. Jirekebisheni shughulikieni shida za wananchi, fedha nyingi tunaleta zinaibiwa, zinaliwa huku mkiangalia hakuna uchunguzi hakuna kinachoendelea mpaka viongozi waseme hapa fanyeni uchunguzi hapa wasimamishe, hatuendi hivyo,” alionya.

Alieleza kuwa: “Miradi inayoletwa kwenu ni ya kwenu na sisi tunapiga kelele huko kwetu kama miradi haiendi, simamieni miradi huduma kwa wananchi zipatikane ni aibu fedha nyingi za maji zimeletwa zimeliwa lakini mmekaa tu. Wana Mara hamuwatendei haki wananchi wenu hata kidogo, badilikieni simamieni miradi kama kujinufaisha imetosha.”

VIGOGO KITANZINI

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, aliagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwachunguza watumishi kutoka wizara hiyo na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) waliohusika kuongeza takwimu za uongo za makadirio ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mwalimu Nyerere.

Alisema watumishi hao waliandika ripoti kwamba zinahitajika sh. bilioni 27 kuendelea na ujenzi, wakati uhalisia fedha zinazohitajika ni sh. bilioni 24.

“Tunakuomba Rais hizo sh. bilioni 24 usitupatie kwanza mpaka tutakapojiridhisha kiasi kamili cha fedha kinachohitajika. Tunaomba pia Waziri wa Maji atusaidie kwa sababu eneo la maji nako wameandika gharama kubwa, lakini pia kwenye umeme wameongeza gharama kutoka sh. bilioni tano hadi 10,” alieleza.

Kuhusu maendeleo ya sekta ya afya, alisema katika kipindi cha miezi tisa ya Rais Samia amejenga vituo vya afya 233 wakati miaka mitano iliyopita serikali imejenga vituo vya afya 487.

Alifafanua kuwa Rais Samia ametoa sh. bilioni 44 za ujenzi wa hospitali za mikoa ya Geita, Simiyu, Njombe, Songwe, Katavi na Mkoa wa Mara.

Aliongeza kuwa sh. bilioni 31.7 zimetolewa kujenga hospitali za kanda mikoa ya Mbeya, Mtwara na Chato huku sh. bilioni 333.8 zimetolewa kwa ajili ya ununuzi wa dawa.

Hata hivyo, alisema pamoja na serikali kutoa fedha hizo, bado hali ya upatikanaji dawa bado hairidhishi, hivyo amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Afya kufuatilia upatikanaji dawa.

Ummy alisema mpango wa serikali ni kuzifanya Hospitali ya Kanda Chato, kuwa bobezi kwa magonjwa ya moyo, Hospitali ya Julius Nyerere ijikite katika matibabu ya mifupa.

Kuhusu hali ya ugonjwa wa Uviko-19, alisema takwimu za kuanzia Januari 29 hadi Februali nne mwaka huu, walipimwa wagonjwa 6,838, ambapo watu 206 walibainika kuambukizwa virusi vya Uvuko-19.

“Katika wagonjwa hao, 71 wamelazwa, 69 wamebainika kuwa hawajachanjwa na wanne pekee ndio waliochanjwa. Kati ya wagonjwa watatu waliofariki dunia katika mikoa ya Dodoma, Morogoro na Manyara wote walikuwa hawajachanja,” alieleza.

Waziri Ummy alitoa rai kwa wananchi kuendelea kujitokeza kupata chanjo ya Uviko-19 ili kuendelea kujikinga dhidi ya maradhi hayo.  

MKUU WA MKOA

Awali Mkuu wa Mkoa wa Mara, Happi alimuomba Rais Samia kusaidia kufumua wakuu wa idara katika Halmashauri za Wilaya za Musoma Vijijini, Tarime na Bunda kwa sababu wamekuwa wakijihusisha katika vitendo vya ubadhirifu vinavyochangia ucheleweshaji miradi ya maendeleo.

Akitolea mfano Halmashauri ya Tarime ambako fedha za maendeleo zinazotolewa kupitia mgodi wa dhahabu wa Nyamongo zimekuwa zikifujwa.

Kwa upande wa Bunda Vijijini alisema zaidi ya sh. milioni 400 zimelipwa kwa mzabuni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa ambavyo bado havijaletwa huku watendaji wa halmashauri hiyo wakidai kwamba hawana eneo la kutunza vifaa hiyo.

“Tunakushukuru Mheshimiwa Rais kwamba umetuleta wakurugenzi na wakuu wa wilaya wapya, lakini hawa wakuu wa idara ni wafujaji, wanapaswa kuondolewa kwani wengi wao wamekaa muda mrefu. Nilikuwa nazungumza na Mkuu wa Wilaya ya Butiama, kule kuna bwana fedha ambaye anakusanya fedha kisha baadhi kuzitumia kabla hazijapelekwa benki,” alieleza huku akishangiliwa na wananchi katika mkutano huo.

Kuhusu miradi ya maendeleo, Happi alimshukuru Rais Samia kwa kutoa fedha za ujenzi wa madarasa 708, huku sh. bilioni 4.8 zimetolewa kununua gari ya wagonjwa katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyarere, vifaa vya EMD, sh. milioni 770 za ununuzi wa vifaa vya ICU na sh. milioni 133 za kununua vifaa vya mifumo ya ICT.

Aidha, alisema serikali imetoa sh. bilioni tatu kwa ajili ya uendelezaji wa hospitali za wilaya huku vituo vya afya 10 vimejengwa kupitia fedha za tozo ambapo kila kituo kimepewa sh. milioni 250.

KATIBU MKUU AFYA

Akizungumzia ujenzi wa hospitali hiyo, Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Profesa Abel Makubi, alisema Hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, ilianza kujengwa mwaka 1975 kwa usanifu kisha ujenzi ulianza mwaka 1980.

Alibainisha kwamba awamu ya kwanza ilihusisha ujenzi wa msingi na sakafu, awamu ya pili iliyoanza mwaka 2011 hadi 2018 ilihusisha ujenzi wa kuta, nguzo, sakafu, lifti na ngazi huku awamu ya tatu iliyoanza mwaka 2018/2019 ilihusisha ujenzi wa kitalu C.

Alieleza kuwa awamu ya nne iliyoanza mwaka 2019 na inatarajiwa kukamilika Februari, mwaka huu, ilihusisha upanuzi wa majengo, usimikaji wa mfumo wa gesi tiba na ujenzi wa majengo ya huduma saidizi kama jengo la kuhifadhi maiti, chumba cha jenereta na kichomea taka.

Profesa Makubi alisema hadi sasa ujenzi wa hospitali hiyo umefikia asilimia 58, huku awamu ya tano ya ujenzi ikitarajiwa kutumia sh. bilioni 24 kwa ajili kukamilisha ujenzi wa majengo A na B, kukamilisha mfumo wa umeme, uzio, barabara na maegesho ya magari.

Hata hivyo, alisema mpango wa serikali ni kuifanya hospitali hiyo kuwa bobezi kwenye tiba ya upasuaji mifupa na ajali.

MBUNGE MUSOMA MJINI

Mbunge wa Musoma Mjini (CCM), Vedastus Manyinyi, alisema huwezi kuzungumzia maendeleo kuanzia mwaka 2015 bila kumtaja Rais Samia.

Alisema maeneo mengi ya barabara za Musoma Mjini yamejengwa kwa barabara za lami na sasa wamepatiwa sh. milioni 380, ambazo zimewezesha ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa wanafunzi.

Katika sekta ya afya, alieleza kuwa zimetolewa fedha za ujenzi wa vituo vya afya, huku sh. bilioni tatu zikitolewa kuboresha huduma Hospitali ya Mwalimu Nyerere.

“Musoma Mjini mtu akiugua, kituo cha afya kipo, zahanati zipo, hospitali ya wilaya, mkoa na akizidiwa kuna hospitali kubwa ya rufaa,” alisema Manyinyi.

Alisema itakapofika Juni mwaka huu baada ya kukamilika mradi wa usambazaji maji, hakutakuwa na eneo lolote la mji huo ambalo halitakuwa na huduma ya maji safi na salama.

NA MUSSA YUSUPH, MUSOMA

Abdurahman Jumanne

Abdurahman Jumanne

Stay Connected test

  • 111 Follower
  • 168k Subscriber
  • 23.5k Follower
  • 99 Subscriber
  • Trending
  • Comments
  • Latest
MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

July 9, 2021
TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

July 9, 2021
BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

August 9, 2021
MBUNGE LINDI ATAKA VIJANA WAJISHUGHULISHE

MBUNGE LINDI ATAKA VIJANA WAJISHUGHULISHE

July 8, 2021
JAFO AWATAKA WAKAZI WA MKOA WA MARA KUJIKITA KATIKA ZAO LA ALIZETI

JAFO AWATAKA WAKAZI WA MKOA WA MARA KUJIKITA KATIKA ZAO LA ALIZETI

0
KIHONGOSI : NGORONGORO MCHAGUENI SHANGAI

KIHONGOSI : NGORONGORO MCHAGUENI SHANGAI

0
JWTZ IKO IMARA KUKABILI MATUKIO YA KIGAIDI-SERIKALI

JWTZ IKO IMARA KUKABILI MATUKIO YA KIGAIDI-SERIKALI

0
MAJALIWA AANIKA SIRI UJENZI VYUO VYA VETA

MAJALIWA AANIKA SIRI UJENZI VYUO VYA VETA

0
MIPAKA YA TANZANIA IPO SHWARI

MIPAKA YA TANZANIA IPO SHWARI

May 20, 2022
SERIKALI YATOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU

SERIKALI YATOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU

May 20, 2022
RAIS SAMIA: MAWAZIRI CHAPENI KAZI, MSISIKILIZE MANENO

RAIS SAMIA: MAWAZIRI CHAPENI KAZI, MSISIKILIZE MANENO

May 20, 2022
TAKUKURU YAIVALIA NJUGA MIRADI ILIYOKATALIWA MBIO ZA MWENGE

TAKUKURU YAIVALIA NJUGA MIRADI ILIYOKATALIWA MBIO ZA MWENGE

May 18, 2022

Recent News

MIPAKA YA TANZANIA IPO SHWARI

MIPAKA YA TANZANIA IPO SHWARI

May 20, 2022
SERIKALI YATOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU

SERIKALI YATOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU

May 20, 2022
RAIS SAMIA: MAWAZIRI CHAPENI KAZI, MSISIKILIZE MANENO

RAIS SAMIA: MAWAZIRI CHAPENI KAZI, MSISIKILIZE MANENO

May 20, 2022
TAKUKURU YAIVALIA NJUGA MIRADI ILIYOKATALIWA MBIO ZA MWENGE

TAKUKURU YAIVALIA NJUGA MIRADI ILIYOKATALIWA MBIO ZA MWENGE

May 18, 2022
Instagram Youtube Twitter VK Facebook

We are a diverse team of experts, innovative thinkers, creative designers, writers, innovators, strategists, pyschologists, comunictaors and web developers. UMG is extremely passionate about growing clients’ businesses, helping them achieve their goals and making a difference by raising the creative and communications industry standards in Tanzania.

Follow Us

Browse by Category

  • 2021
  • Afya Makala
  • BURUDANI
  • Business
  • GAZETI LA BURUDANI
  • GAZETI LA UHURU
  • GAZETI LA UHURU MACHI 17
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • KIMATAIFA
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • RIWAYA
  • SIASA
  • Uncategorized

Recent News

MIPAKA YA TANZANIA IPO SHWARI

MIPAKA YA TANZANIA IPO SHWARI

May 20, 2022
SERIKALI YATOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU

SERIKALI YATOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU

May 20, 2022

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In